Jumapili, 18 Septemba 2016

Ubalozi wa Vijana Kigamboni ulipata bahati ya kuhudhiria kikao kilichoandaliwa na mkuu wa wilaya ya Kigamboni dhumuni ikiwa ni kukusanya maoni kutoka kwa watu mbalimbali yatakayoweza kusaidia kupandisha ufaulu wa wanafunzi ndani ya wilaya ya Kigamboni.. Kama Ubalozi wa Vijana Kigamboni tunapenda kutoa pongezi za dhati kwa mkuu wetu mpya wa wilaya kwa juhudi zake anazozionyesha katika kuleta maendeleo ya Kigamboni yetu pendwa na wazo lake chanya la kushirikisha jamii inayomzunguka kuweza kukabiliana na changamoto zinazorudisha nyuma Kigamboni yetu kimaendeleo







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni