Jumapili ya tarehe 11-09-2016 itabaki kua siku ya kukumbukwa na wanaharakati wa maendeleo ya vijana Kigamboni hii ni baaada siku hii mwenyezi mungu kuibariki na kwa uwezo wake UBALOZI WA VIJANA KIGAMBONI(UVIKI) ikazaliwa rasmi.. Ndani ya ukumbi wa Kijiji beach waasisi walikutana na kuweza kupitisha azimio la pamoja la kupitisha katiba itakayoongoza UVIKI kusonga mbele.. Karibuni vijana wa Kigamboni tuungane pamoja maana umoja na mshikamano ndio nguvu yetu









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni