Mwenyekiti wa Ubalozi wa Vijana Kigamboni akimkabidhi T-shirt ya chama mkuu mpya wa wilaya wa Kigamboni kama ishara ya kumpongeza kwa kazi nzuri ya kuleta maendeleo anayoifanya na kumpa ahadi kutoka kwa vijana wa Kigamboni ya kuwa naye bega kwa bega katika kuhakikisha Kigamboni inakua nuru itakayotizamwa duniani koyte 

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni