Karibuni Vijana na Wadau mbalimbali wapenda maendeleo ya Kigamboni yetu pendwa... Ndani ya Ubalozi wa Vijana Kigamboni (UVIKI)kuna Aina nne (4) za uanachama ambazo ni:
1.Mwanachama muasisi
2.Mwanachama wa kawaida
3.Mwanachama wa heshima
4.Mwanachama mshiriki
Utaona pichani kama zilivyo orodheshwa ndani ya katiba kwa kuna mengi ya kunufaika unapojiunga na Ubalozi wa Vijana Kigamboni.. Kwa ushauri,taarifa,maoni,maswali n.k tafadhali usisite kuwasiliana nasi kwa anuani zetu.. Ahsante
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni